Mamlaka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zinasema kuwa watu 11 wameuawa usiku wa kuamkia leo katika wimbi jipya la mashambulio katika eneo la Beni mashariki mwa nchi hiyo.
.
Mauaji hayo yanafikisha idadi ya watu 33 kuuwawa na waasi waliojihami chini ya saa 24.
Viongozi wa eneo hilo wanadai kuwa waliohusika na mauaji hayo ni wanamgambo wa kundi la waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) kutoka nchi jirani ya Uganda.
.
Wanawake 13 ni miongoni mwa watu 22 waliouawa na waasi wa ADF usiku wa Jumamosi.
.
Mauaji hayo yanafikisha idadi ya watu 33 kuuwawa na waasi waliojihami chini ya saa 24.
Viongozi wa eneo hilo wanadai kuwa waliohusika na mauaji hayo ni wanamgambo wa kundi la waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) kutoka nchi jirani ya Uganda.
.
Wanawake 13 ni miongoni mwa watu 22 waliouawa na waasi wa ADF usiku wa Jumamosi.

Social Plugin