Ad Code

Responsive Advertisement

Mwili wa Katibu wa CHADEMA wakutwa barabarani ukiwa na majeraha


Mwili wa Katibu wa Chadema Jimbo la Manyoni Mashariki, Alex Jonas umekutwa barabarani ukiwa na majeraha yanayoashiria kuchomwa na kitu chenye ncha kali. DC Manyoni, Rahabu Mwagisa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi zaidi.
Reactions

Post a Comment

0 Comments