Kupitia kipindi cha leo tena cha
Clouds Fm, mtangazaji nguli wa shirika la utangazaji la BBC
Zuhura Yunus amefunguka jinsi alivopata kazi kwenye shirika la utangazaji la BBC miaka 12 iliyopita, pia mtangazaji huyo alizungumzia maisha yake kwa ujumla na kusema kuwa yeye hajaolewa na hana mtoto.
Msikilize kwenye video hii
1 Comments
It sounds better ,i have enjoyed much with zuhura and bint kiziwi .You are doing well guys
ReplyDelete