"Bado corona haijaingia Tanzania ila kuna hatua tatu muhimu tunachukua, ya kwanza kila mgeni akiingia anakuwa scanned iwe Airport, Bandarini n.k, hatupimi corona Airport, ukiona Mtu kachukuliwa na ambulance Airport sio kwamba ana corona"-Dkt. Hassan Abbasi
"Bado corona haijaingia Tanzania ila kuna hatua tatu muhimu tunachukua, ya kwanza kila mgeni akiingia anakuwa scanned iwe Airport, Bandarini n.k, hatupimi corona Airport, ukiona Mtu kachukuliwa na ambulance Airport sio kwamba ana corona"-Dkt. Hassan Abbasi https://t.co/YrQWotnLC1 pic.twitter.com/pzggCm60Jx— millardayo (@millardayo) March 15, 2020

0 Comments