JPM amefanya ziara ya kushtukiza Ubungo Jijini Dar es Salaam. Pia amekagua maendeleo ya ujenzi wa barabara za juu (Ubungo Interchange). Ujenzi umefikia 70%, mradi utakamilika kwa gharama ya shilingi Bilioni 230.
Pia Raisi ametangaza kuahirisha Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu.



0 Comments