Shule na taasisi za elimu ya juu zitafungwa kwa siku 14 kuanzia kesho. Kuanzia leo ibada zote zitafanyika nyumbani.
Wafanyakazi pia wametakiwa kubaki nyumbani. Biashaa na migahawa itabaki wazi na wateja wametakiwa kukaa umbali wa mita moja.
Graphic resources for everyone.
0 Comments